Kocha wa zamani wa Klabu ya Yanga SC Nasreddine Nabi, yupo mbioni kujiunga na timu ya Kaizer Chief ya Afrika Kusini. Mazungumzo bado yanaendelea kuhusu na ofa hiyo.
Nabia kwa sasa anahudumu kama kocha mkuu wa timu ya AS FAR ya Morocco.
Kocha wa zamani wa Klabu ya Yanga SC Nasreddine Nabi, yupo mbioni kujiunga na timu ya Kaizer Chief ya Afrika Kusini. Mazungumzo bado yanaendelea kuhusu na ofa hiyo.
Nabia kwa sasa anahudumu kama kocha mkuu wa timu ya AS FAR ya Morocco.