TAKWIMU ZA CLEMENT MZIZE ZINATISHA!




Clement Mzize (20) ameibuka kama mfungaji bora katika Kombe la Shirikisho la CRDB 2023/2024. Mzize amecheza mechi sita, amefunga mabao matano huku akiondoka na Hat trick 1.

Mechi: 6
Mabao: 5
Hat Trick: 1

Mzize amemaliza Ligi Kuu Tanzania NBC Msimu wa 2023/2024 akiwa amefunga mabao sita pekee. Msimu ambao ulikuwa mzuri kwa Aziz Ki na Feisal kutoka Azam FC.

Vinara wa Mabao Ligi Kuu NBC Premier League 2024

Azizi Ki: Mabao 21
Feisal: Mabao 19
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Bottom Post Ad