JUMA MGUNDA MBIONI KUREJEA COASTAL UNION



Kaimu Kocha Mkuu wa Simba, Juma Mgunda inaelezwa yupo mbioni kurejea Coastal Union kwa nia ya kwenda kuiongezea nguvu timu hiyo itakayoshiriki michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika 2024/2025. 

Mgunda anaenda kusaidiana na David Ouma na inadaiwa mazungumzo yapo mahali pazuri na muda wowote inaweza kutangazwa kurejea kwa Mgosi kwa Wagosi.

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Bottom Post Ad